Friday, January 22, 2010

ZAMBIA NA CAMEROON ZATINGA ROBO FAINAL!!!



Timu za Taifa za Zambia na Cameroon zimekamilisha orodha ya Mataifa nane ambayo yamefanikiwa kufuzu katika hatua ya Robo Fainal ya AFCON. Zambia wamefanikiwa kumaliza wakiwa vinara wa Kundi D huku Cameroon wakiwa washindi wapili.

No comments:

Post a Comment