Thursday, January 14, 2010

ANGOLA YAWEKA HAI MATUMAINI YA KUTINGA ROBO FAINALI




Wenyeji wa Michuano ya AFCON Angola wameweka hai matumaini ya kutinga katika hatua ya Robo Fainali baada ya kushinda mchezo wake dhidi ya Malawi. Angola ambao katika mchezo wa kwanza waliambulia sare ya magoli 4-4 dhidi ya Mali wameshinda mchezo wao dhidi ya Malawi kwa 2-0. Magoli ya Angola yamefungwa na washambuliaji wake hatari Flavio na Manucho.

No comments:

Post a Comment