Monday, January 25, 2010

CHEMICAL ALI AJIUA!!!!



Ali Hassan al-Majid maarufu kama Chemical Ali ambaye ni Kiongozi wa zamani wa Serikali ya Rais Saddam Hussein pia ni binamu ya Kiongozi huyo ameamua kujiua kwa kujinyonga siku kadhaa baada ya Mahakama ya nchi hiyo kumuhukumu adhabu ya kifo cha kunyongwa hadi kufa. Chemical Ali anatuhumiwa kuhusika katika mauaji ya Wakurdi zaidi ya Laki Tano mnamo mwaka 1988.

No comments:

Post a Comment