Friday, January 15, 2010

BENITEZ AOMBA RADHI MASHABIKI!!!!


Kocha Mkuu wa Liverpool Rafael Benitez amewaomba radhi mashabiki wa timu hiyo kutokana na kushuhudia wakitolewa kwenye Kombe la Chama Cha Soka Nchini England FA kunako raundi ya tatu. Liverpool imeondolewa katika FA baada ya kupigwa magoli 2-1 na Reading

No comments:

Post a Comment