Friday, January 15, 2010

LIGI MZUNGUKO WA PILI KUANZA KESHO!!



Mabingwa watetezi Yanga wanatarajiwa kuanza mzunguko wa Pili wa ligi kesho kwa kucheza na wabaya wao African Lyon. Yanga watashuka dimbani wakiwa na kumbukumbu ya kutoka sare na African Lyon katika mzunguko wa kwanza. Vijana hao wanaonolewa na Kostadin Papic maarufu kama Clinton watakuwa na kibarua cha kuanza vizuri hatua hii ya lala kwa buriani.

No comments:

Post a Comment