Monday, January 25, 2010

ETHIOPIAN AIRLINE YAANGUKA BEIRUT!!!!



Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia ambayo ilikuwa inatoka Nchini Lebanon katika mji wa Beirut imeanguka mapema asubuhi kilometa 3.5 tangu iruke kutoka Kiwanja cha ndege. Ndege hiyo ambayo ilikuwa na abiria 83 na wafanyakazi 7 imeanguka baada ya kupotea katika radar dakika chache tangu iruke. Taarifa zinaeleeza kuwa Rubani akaielekeza kwenye Bahari ya Mediteranean na mpaka sasa watu saba wameshaokolewa wakiwa hai.

No comments:

Post a Comment