

Timu ya Taifa ya Mali imeondolewa katika michuano ya Dimba la Mataifa ya Afrika licha ya kupata ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya Malawi. Magoli ya Mali yamefungwa na Fredrick Kanoute, Seydou Keita na Mamadou Bagayoko. Angola na Algeria wamefanikiwa kufuzu kutoka Kundi A. Huku Algeria yeye ikifuzu kutokana na sheria za mashindano hayo kumbebe.
No comments:
Post a Comment