Sunday, January 17, 2010

YANGA YAANZA KWA USHINDI MZUNGUKO WA PILI, LEO ZAMU YA SIMBA!!!



Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa lala kwa buriani umeanza jana na kushuhudia Mabingwa watetezi Yanga wakivuna ushindi wa magoli mawili kwa nunge mbele ya African Lyon kwa magoli ya Jerryson Tegete na Mrisho Ngasa. Leo ni zamu ya vinara wa ligi hiyo Simba ambao wanakibarua dhidi ya Majimaji ya Songea

No comments:

Post a Comment