Thursday, January 14, 2010

WATU ELFU 50 WAHOFIWA KUFA HAITI






Zaidi ya watu milioni wanahitaji misaada ya haraka kufutia kutokea kwa tetemeko la ardhi nchini Haiti. Huku taarifa zikieleza zaidi ya watu elfu 50 wamepoteza maisha katika tukio hilo. Waokoaji wanaendelea na zoezi la utoaji wa miili iliyonaswa kwenye vifusi

No comments:

Post a Comment