Monday, January 18, 2010

MISAADA YAANZA KUWAFIKIA WAATHIRIKA HAITI!!!



Juma moja tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi baya kuwahi kupiga nchi ya Haiti katika kipindi cha zaidi ya miaka mia mbili hatimaye misaada imeanza kuwafika baadhi ya wananchi. Licha ya baadhi ya maeneo kupata misaada hiyo lakini kuna wale ambao mpaka sasa hawajapata msaada wa aina yoyote. Mji wa Port0-au-Prince umezingirwa na harufu kali iliyosababishwa na maiti ambazo zimezagaa na kushindwa kuzikwa kutokana na nguvu kubwa kuelekezwa kwa manusura.

No comments:

Post a Comment