Wednesday, January 27, 2010

SERENA WILLIAMS ATINGA FAINAL AUSTRALIA OPEN!!!









Bingwa mtetezi wa Taji la Australia Open Serena Williams amefanikiwa kutinga katika hatua ya fainal baada ya kumfunga Li Na kwa seti mbili kwa nunge. Serena amepata matokeo ya 7-6 katika kila seti

No comments:

Post a Comment