
Kocha wa Klabu ya Manchester City, Roberto Mancini ametangaza naye ya kutaka kumbakiza mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil ambaye kwa sasa hana namba ya kudumu katika kikosi chake Robinho. Mshambuliaji huyo ametangaza nia yake ya kutaka kuongoza Eastlands kutokana na kukosa namba ya kudumu
No comments:
Post a Comment