Monday, January 25, 2010
MANCINI ATAKA ROBINHO ABAKI!!!!
Kocha wa Klabu ya Manchester City, Roberto Mancini ametangaza naye ya kutaka kumbakiza mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil ambaye kwa sasa hana namba ya kudumu katika kikosi chake Robinho. Mshambuliaji huyo ametangaza nia yake ya kutaka kuongoza Eastlands kutokana na kukosa namba ya kudumu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment