

Hatimaye Algeria inakuwa Timu ya kwanza miongoni mwa tano ambazo zitaiwakilisha Afrika kwenye Kombe la Dunia kupata ushindi. Algeria wamefanikiwa kuvuna ushindi baada ya kuifunga Mali kwa goli moja kwa buyu. Goli hilo la Wawakilishi hao wa Bara la Afrika kwenye Dimba la Kombe la Dunia limefungwa na Rafik Halliche akiunga mpira wa faulo uliopigwa na Karim Ziani
No comments:
Post a Comment