Friday, January 22, 2010

RIOBA AREJEA KWENYE KURUNZI LA MLIMANI!!!









Hatimaye Ayub Rioba arejea tena kwenye Kurunzi la Mlimani baada ya kukabiliwa na majukumu mengi ya Kitaifa. Rioba ambaye ni Mhadhiri Msaidizi wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam katika Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC). Huyu ni mwanahabari ambaye amebobea na pia ndiye mwanzilishi wa Kurunzi la Mlimani. Karibu Rioba tuendeleza jahazi la Mlimani Tv Elimu Kwanza.

No comments:

Post a Comment