Friday, January 15, 2010

WAKALI WA MLIMANI TV WAKIWA KAZINI!!!!!




Hawa ni baadhi tu ya wale ambao wanakisimamisha kituo cha Mlimani Tv kwenye kazi. Anuary Mkama Mkuu wa kazi akifanya interview na Nahodha wa Malindi ya Zanzibar. Saleh Masoud maarufu kama Jecha akiwa amekamata Kamera yake. Juu ni Sylvia Mwehozi akiwa na Mama Nyerere. Ninavyomjua huyu binti hii picha itakuwa imebandikwa sebuleni kwao.

1 comment: