Monday, January 25, 2010

MISRI, NIGERIA ZAFUZU NUSU FAINAL!!





Mabingwa Watetezi Misri na Nigeria zimekuwa timu mbili za mwisho kukamilisha idadi ya timu nne zilizotinga katika hatua ya Nusu Fainal ya Dimba la Mataifa ya Afrika.
Misri wamefuzu baada ya kuifunga Cameroon Simba Wasiofugika kwa jumla ya magoli 3-1. Nigeria wamefuzu baada ya kushinda kwa penalty 5-4 dhidi ya Zambia Chipolopolo.

No comments:

Post a Comment