Sunday, January 17, 2010

NCCR MAGEUZI KUIBURUZA SERIKALI MAHAKAMANI!!!

Chama Cha NCCR Mageuzi kimetangaza nia yake ya kuiburuza serikali Mahakamani iwapo itashindwa kufanya marekebisho kwenye miswada miwili ya sehria ya uchaguzi ambayo itapelekwa bunge katika Mkutano wa Kumi na Nane. Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi Samweli Ruhuza ametangaza nia ya Chama chake katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika Makao Makuu ya Chama hicho Ilala Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment