Saturday, January 16, 2010

IVORY COAST YAFUZU ROBO FAINALI - AFCON!!!









Kikosi cha Tembo wa Africa Ivory Coast imekuwa timu ya kwanza kutinga katika hatua ya robo fainali baada ya kuvuna ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya Ghana Black Stars. Magoli ya Ivory Coast yamefungwa na Gervinho, Siaka Tiene na Didier Drogba wakati la Ghana limepachikwa nyavuni na Asamoah Gyan.

No comments:

Post a Comment