
Chama Cha Soka Nchini England FA kimetangaza kutowachukulia hatua wachezaji Gary Neville wa Manchester United na Carlos Tevez wa Manchester City baada ya kuoneshana ishara ambazo si za kiungwana. Licha ya wacheazaji hao kukwepa rungu la adhabu lakini FA imewaonya wachezaji hao kwa tabia hiyo
No comments:
Post a Comment