Monday, January 18, 2010

HENRY AKWEPA RUNGU LA FIFA!!!!


Mshambuliaji wa Kimataifa wa France na Klabu ya Barcelona Thierry Henry amekwepa rungu la adhabu la FIFA kutokana na kuunawa mpira kwa maksudi katika mchezo wa kutafuta tiketi ya Kombe la Dunia dhidi ya Jamhuri ya Ireland. Henry amekutwa hana hatia ya kufanya kitendo hicho makusudi na kamati ya nidhamu ya FIFA.

No comments:

Post a Comment