Sunday, January 17, 2010

MACHATA YA NGUO ZA KIBONGO!!!!





Siku hizi fulana na Tshirt ambazo zinamaneno ya kiswahili zimekuwa maarufu sana kwa Vijana. Kila sehemu unakutana na watu wakiwa wamevaa fulanazz zenye maneno mbalimbali mathalani Umefulia, Kaza Buti na mfano wa hivyo. Lakini chata hizi ni za makundi ya muziki hapa nchini. Huree Tz nasi tunaweza!!

No comments:

Post a Comment