Monday, January 18, 2010

MASHAMBULIZI NCHINI AFGHANISTAN!!!


Mji Mkuu wa Afghanistan, Kabul umekumbwa na mashambulizi mapema ya siku ya jumatatu mara baada ya Wanamgambo wa Kundi la Taliban kufanya shambulizi lililolenga Wizara za nchi hiyo. Taarifa za Wanamgambo wa Taliban zimethibitisha kuhusika kwao na kuongeza nia yao ilikuwa ni kushambulia Makazi ya Rais ya nchi hiyo. Jumla ya watu watano wanasemekana kuuawa huku wengine zaidi ya thelathini wakijeruhiwa.

No comments:

Post a Comment