Sunday, January 17, 2010

MAPHARAO WATINGA ROBO FAINAL, SUPER EAGLES WASHINDA!!!





Mchuano wa Dimba la Mataifa ya Afrika umeendelea kutimua vumbi nchini Angola na kushuhudia Mabingwa watetezi Misri "Pharaos" wakitinga hatua y Robo Fainal wakati Nigeria "Super Eagles" wakishindwa kwa tabu goli 1-0.

No comments:

Post a Comment