Saturday, January 16, 2010

LIVERPOOL MWAKA WA SHETANI!!!!



Bwawa La Maini mambo yanazidi kuwaelemea kwani katika mchezo wake dhidi ya Stoke City wameambulia sare. Liverpool ambo walikuwa wakwanza kupata goli wamejikuta wakiruhusu goli la kusawazisha katika dakika ya 90 ya hivyo matokeo kuwa 1-1. Kweli kisicho riziki hakiliki waswahili wamesema

No comments:

Post a Comment