Friday, January 15, 2010
CAMPBELL ASAJILIWA TENA ARSENAL!!!
Klabu ya Arsenal haitimaye imemsajili tena beki wake wa zamani Mkongwe Sol Campbell mwenye umri wa miaka 35. Campbell ambaye almanusra ajiunge na Manchester United amekamilisha usajili wake na Kujiunga na Washika Bunduki wa Jiji la London. Campbell amekuwa hana klabu ya kuchezea tangu mwezi December baada ya kuachwa na Notts County
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment