Sunday, January 17, 2010

CHEMICAL ALLY AHUKUMIWA KIFO!!!!


Ali Hassan al-Majid maarufu kama Chemical Ali mmoja wa watuhumiwa walioshiriki katika mauaji ya Wakurdi zaidi ya laki moja na elfu themanini amehukumiwa adhabu ya kifo. Chemical Ali alikuwa mshirika wa karibu wa Rais wa zamani wa Iraq Marehemu Saddam Hussein

No comments:

Post a Comment