



Mabingwa watetezi wa Kombe la Carling Manchester United wamefanikiwa kutinga hatua ya fainal baada ya kuifunga Manchester City kwa magoli 3-1 kwenye mchezo wa nusu fainal. Magoli ya Paul Scholes, Michael Carrick na Wayne Rooney yametosha kuipa ushindi Man Utd na sasa itacheza na Aston Villa tarehe 28 February.
No comments:
Post a Comment