Friday, January 22, 2010

WANANCHI HAITI WAANZA KUHAMISHWA!!!


Siku kumi baada ya nchi ya Haiti kupigwa na tetemeko la ardhi mamia ya wananchi wameanza kuhamishwa kutoka katika maeneo ambayo yameathirika. Wengi wa wakazi kutoka Mji Mkuu Porto-au-Prince ambao hawana makazi wameanza kuhama. Takwimu zinaonesha kuwa zaidi ya watu laki nne hawana makazi nchini Haiti

No comments:

Post a Comment