
Siku kumi baada ya nchi ya Haiti kupigwa na tetemeko la ardhi mamia ya wananchi wameanza kuhamishwa kutoka katika maeneo ambayo yameathirika. Wengi wa wakazi kutoka Mji Mkuu Porto-au-Prince ambao hawana makazi wameanza kuhama. Takwimu zinaonesha kuwa zaidi ya watu laki nne hawana makazi nchini Haiti
No comments:
Post a Comment