Friday, January 22, 2010

WAPINZANI WASHINIKIZA RAIS YAR'ADUA AACHIE MADARAKA!!!


Kambi ya Upinzani nchini Nigeria imeetisha maandamano ya kushinikiza Rais wa nchi hiyo Umar Yar'Adua aachie ngazi kutokana na kuendelea kukabiliwa na maradhi ya moyo. Rais Yar'Adua amekuwa nchini Saudi Arabia kwa muda sasa akipatiwa matibabu

No comments:

Post a Comment