Wednesday, January 13, 2010
VIGOGO WAKUMBANA NA SHUBIRI AFCON
Michuano ya Dimba la Mataifa ya Afrika yameendelea huku vigogo wakizidi kubanwa mbavu. Wawakilishi wa Afrika kwenye Dimba la Kombe la Dunia hakuna ambaye ameweza kupata ushindi ukiondoa Ghana Balck Star ambao hawajashuka dimba. Matokeo ya jana Cameroon 0-1 Gabon na Zambia 1-1 Tunisia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment