Monday, January 25, 2010

GHANA, ALGERIA WATINGA NUSU FAINAL AFCON!!!



Wawakilishi wawili wa Bara la Afrika kwenye Kombe la Dunia Ghana na Algeria wamefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya Michuano ya Dimba la Mataifa ya Afrika. Ghana wamefuzu baada ya kuwafunga wenyeji Angola goli 1-0. Algeria wamewaondosha Ivory Coast kwa kuwachabanga magoli 3-2.

No comments:

Post a Comment