Sunday, December 27, 2009

YANGA BINGWA TUSKER

YANGA 2-1 SOFAPAKA
Mabingwa watetezi wa Tanzania Bara, Yanga wamefanikiwa kutwaa Ubingwa wa Michuano ya Tusker baada ya kuifunga Sofapaka ya Kenya kwa magoli 2-1. Katika mchezo huo uliopigwa kwenye uga wa Uhuru maarufu kama Shamba la Bibi. Magoli ya Yanga yamefungwa na Boniface Ambani (84) na Mrisho Ngassa (89). Hongera wazee wa Jangwani kwa ushindi. Mwali amebaki tena nyumbani kwa mwaka mwingine.

No comments:

Post a Comment