Saturday, December 26, 2009

SIMBA 2-1 TUSKER

WEKUNDU WAAMBULIA NAFASI YA TATU KWENYE TUSKER
Vinara wa Ligi Nchini Wekundu wa Msimbazi Simba wamefanikiwa kushika nafasi ya tatu katika Mashindano ya Tusker mara baada ya kuifunga Tusker ya Kenya kwa magoli 2-1. Magoli ya Mnyama Mkali kuliko wote Mwituni yamefungwa na Mohamed Kijuso (89) na Ramadhani Chombo Redondo (95). Mchezo umechezwa kwa dakika 120. Kwa ushindi huo Wekundu wanaondoka na kitita cha Milioni 20. Hongera Mnyama. Kesho kazi katika ya Yanga (Tz) na Sofapaka (Kenya) fainali Uwanja wa Taifa.

No comments:

Post a Comment