Friday, December 25, 2009

PACQUIAO KUMBURUZA KORTINI MAYWEATHER

KASHFA YA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA HUENDA IKASABABISHA MABONDIA HAWA WAKAFIKISHANA KORTINI.Bondia Manny Pacquiao ametangaza nia yake ya kumburuta kortini mwanamasumbwi Floyd Mayweather Jr, Baba yake Mayweather Sr na Promota wake kutokana na kumuhusisha na utumiaji wa dawa za kulevya. Mabondia hao ambao ilibidi wapigane mwezi March kabla ya kuzuka mizengwe wameanza vita ya kutupiana maneno ambayo imewafikisha hapo walipo.

No comments:

Post a Comment