Wednesday, December 23, 2009

MADAGASCAR HALI SI SHWARI!!!!!

HALI YA USALAMA NCHINI MADAGASCAR SI YA KURIDHISHA KUTOKANA NA WAANDAMANAJI KUFANYA GHASIA

Rais Andry Rajoelina ambaye ameingia madarakani kwa msaada wa jeshi la Madagascar
Wanajeshi wa Madagascar wakiwa imara kuzima maandamano yanayofanywa na wananchi wakipinga kupunguzwa kwao kazini. Taarifa zinaeleza kuwa wengi wa waliofukuzwa kazi ni wafuasi wa kambi ya Upinzani inayoongozwa na Rais wa zamani Marc Ravalomanana.

No comments:

Post a Comment