Tuesday, December 22, 2009

X-MASS IMEKARIBIA MABANGO NDIYO HAYA.

BANGO LIKIHAMASISHA USICHEZE MBALI SIKU YA MKESHA WA X-MASS. KAZI KWAKO
Ama kweli siku zimebaki mbili na kila sehemu kuna mabango ambayo yanahasisha watu wajitokeze na kustarehe katika kumbi mbalimbali. Starehe hizi chonde chonde ziendane na tahadhari ili mwisho wa siku furaha isijegeuka kilio.

No comments:

Post a Comment