Friday, December 25, 2009

BEI YA WESE UMEIONA??

HAYA KAZI KWAKO HIYO NDIYO BEI YA MAFUTA KAMA HUWEZI KUMUDU FUNGIA GARI LAKO NDANI
Kwa hali hii huko tunakokwenda siku moja magari yatapungua tu barabarani na kutuepusha na kadhia ya foleni kwani kila siku bei ya Mafuta inazidi kupaa. Haya we!!!

No comments:

Post a Comment