UMEUONA MTI WA X-MASS YAANI HUU NI MAALUM KWA SIKUKUU HII TU.
Mti huu kwa wale ambao haumjawahi kuuona ni maalum kwa X-mass. Kipindi cha kukaribia X-mass ndipo unachanua vizuri na kuonekana katika mandhari nzuri. Si unajua siku mbili zimesalia kabla ya X-mass nina maana kabla ya pilau haijaanza kunukia kwenye nyumba zetu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment