Friday, December 25, 2009

MNYAMA KUSAKA MSHINDI WA TATU

WEKUNDU WA MSIMBAZI KUSHUKA DIMBANI DHIDI YA TUSKER LEO
Vinara wa Ligi Kuu nchini Simba leo wanatarajiwa kushuka dimbani kuumana na Tusker katika mchezo wa kulinda heshima wakati wakisaka nafasi ya mshindi wa tatu. Simba ambao waliondolewa kwenye Nusu fainali na Watani zao wa Jadi Yanga itakuwa pia inasaka Milioni 20.

No comments:

Post a Comment