KIONGOZI ALIYENUSURIKA KIFO MARA BAADA YA MLINZI WAKE KUMPIGA RISASI
Kapteni Mousa Didas Camara ni Kiongozi wa Serikali ya Kijeshi ya Guinea ambayo iliingia madarakani kwa kufanya Mapinduzi wasioyomwaga damu. Kwa sasa Kapteni Camara anapatiwa matibabu nchini Morocco mara baada ya kusurika kifo kufuatia kupigwa risasi na mlinzi wake Luteni Abubacar Toumba Diakite.
No comments:
Post a Comment