Friday, December 25, 2009

SALAMA ZA X-MASS NA MWAKA MPYA KUTOKA CUF

TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA YA XMAS NA KHERI ZA MWAKA MPYA

CUF - Chama cha Wananchi tunawatakiwa watanzania wote sikukuu njema na kheri za mwaka mpya wa 2010.

Uwe ni mwaka wenye maamuzi sahihi juu ya mustakabali wa Taifa letu na maisha yetu ya sasa pamoja na ya kizazi kijacho kwa kuchagua viongozi waadilifu wenye nia njema na nchi yao wanaoweza kulitumika Taifa kwa faida ya wote kwa kufuata misingi sahihi ya utawala bora na demokrasia na kuhakikisha pato la nchi linatumika kwa faida ya wote.

HAKI SAWA KWA WOTE

No comments:

Post a Comment