Saturday, December 26, 2009

CHELSEA YABANWA MBAVU

DAKIKA 90 ZA MCHEZO BIRMINGHAM 0-0 CHELSEA
Vinara wa Ligi Kuu nchini England Chelsea wamebanwa mbavu mara baada ya kulazimishwa sare tasa na Birmingham City. City itabidi wajilaumu wenyewe kutokana na kukose nafasi nyingi. Picha zaidi na matokeo mengine baadaya kama si kesho. Me mwenyewe naangalia mechi saa hii.

No comments:

Post a Comment