Friday, December 25, 2009

ANGALIA TASWIRA HIZI!!

PICHA ZA WALIOKUWA VIONGOZI WA JUU WA TAIFA HILI KATIKA SERIKALI ZA AWAMU YA TATU NA YA NNE
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa
Waziri Mkuu Mstaafu wa Awamu ya Nne Edward Ngoyay Lowassa
Waziri wa Fedha wa Serikali ya Awamu ya Tatu Basil Pesambili Mramba

Hivi ukiziona Taswira za Viongozi hawa unakumbuka nini kwa haraka haraka katika Uongozi wao? Viongozi hawa wametumika taifa hili katika serikali ya awamu ya tatu pamoja.

No comments:

Post a Comment