LIONEL MESSI AKIKABIDHIWA TUZO YA UCHEZAJI BORA WA MWAKA WA DUNIA NA RAIS WA FIFA SEPP BLATTER
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Argentina Lionel Messi amefanikiwa kutwaa tuzo ya uchezaji bora ya mwaka na kumshinda Cristiano Ronaldo. Messi ambaye ametwaa tuzo ya uchezaji bora wa Ulaya amepata kura 1,073, Ronaldo ameambulia 352, Xavi Hanandez za kwake 196, Ricardo Kaka amepata 190 na Andrea Iniesta amefunga tano bora kwa kura 134.
No comments:
Post a Comment