SCHUMACHER ASAINI MKATABA WA KUREJEA FORMULA 1 NA KAMPUNI YA MERCEDES

Dereva wa magari yaendeayo kasi na bingwa wa kihistoria wa michuano ya Formula 1 Michael Schumacher amesaini mkataba wa kurejea katika kinyang'anyiro hicho mwakani akiwa na kampuni ya Mercedes. Swali je jamaa atarejea na makali yake yale ambayo tulikuwa tunayafahamu?
No comments:
Post a Comment