Tuesday, December 22, 2009

BARIDI LAZIDI KULETA BALAA UROPA

WATU 90 WAFARIKI DUNIA KUTOKANA NA KUONGEZEKA KWA BARAFU BARANI ULAYA
Idadi ya vifo inaonekana kuongezekaBarani Ulaya kufuatia kuongezeka kwa baridi kali na kusababisha barafu kuanguka huku nchi nyingine kiwango cha joto kikiwa -40. Kumekuwa na ajali nyingi za barani huku safari za ndege na treni zikiahirishwa kuhofia hali ya usalama.

No comments:

Post a Comment