Sunday, December 20, 2009

CHELSEA YAAMBULIA SARE

LIGI KUU NCHINI ENGLAND YAFIKA MAHALI PATAMU

Kiungo wa Chelsea Frank Lampard akipongezwa na wenzake mara baada ya kufunga goli la kusawazisha katika mchezo wa ligi dhidi ya West Ham United. Matokeo mpaka dakika tisini zinamalizika yalikuwa 1-1.

No comments:

Post a Comment