Sunday, December 20, 2009

SAA KUMI NA MOJA NA NUSU ASUBUHI JIJINI

HIVI NDIVYO JIJI LA DARA ES SALAAM LINAVYOKIMBILIA WAKATI WA MAWIO.

Taswira hizi nimezinasa asubuhi wakati nawahi daladala nielekee job. Hapa ni Mabibo Mwisho sehemu ambayo kituo cha daladala kilipo. Magari hayo yanayoonekana kando ni wale wenzangu wenye usafiri halafu hawana sehemu za kulaza.

No comments:

Post a Comment