Sunday, December 20, 2009

VIKWANGUA ANGA VYAONGEZEKA

MANDHARI YA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA SASA INATAWALIWA NA VIKWANGUA ANGA
Ghorofa hili linapatikana Kituo cha Makumbusho pembeni ya lile la Dermo House kama ambavyo linaonekana chini.
Ghorofa la Dermo House linavyoonekana mapema asubuhi na sasa limeanza kuungwa mkono kutokana na kuibuka majengo mengine kama uyoga.

No comments:

Post a Comment