Tuesday, December 29, 2009

MATOKEO YA LIGI KUU ENGLAND!!!

Mshambuliaji wa Chelsea Didier Drogba akifunga goli la kusawazisha kwa timu yake
Wachezaji wa Tottenham Hotspurs wakishangilia goli lao la pili dhidi ya West Ham United
Carlos Tevez wa Man City akifunga goli la tatu katika mchezo dhidi ya Hull City
Cameron Jerome wa BirminghamCity akifunga goli dhidi ya Stoke City
Wachezaji wa Blackburn Rovers wakimpongeza Al Hadj Diouf mara baada ya kuisawazishia timu hiyo dhidi ya Sunderland

Barclays Premier League
Wolverhampton 0-3 Man City

No comments:

Post a Comment